Alibatizwa tena katika jina la Bwana Yesu Kristo - Uholanzi 2012
Dada huyu alibatizwa miaka mingi iliyopita katika jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Baada ya yeye kujifunza ya kwamba Yesu ni Mungu, hapa anabatizwa tena katika Jina la Yesu Kristo. Mitume walibatiza katika jina la Bwana Yesu Kristo; Matendo 2:38, 8:12, 16, 19:5
(Inaonekana kama sehemu ya utukufu kwenye picha ili kudhibitisha kuwa alifanya jambo sahihi)